Popular Posts

Thursday, March 3, 2016

Ni kweli Roman Abramovich amewatajia staff wa Chelsea kocha mpya? dello Sport wameandika hivi …

Bado klabu ya Chelsea
  ya Uingereza inaongozwa na kocha wake wa muda Guus Hiddink ambaye
 ataiongoza klabu hiyo hadi mwisho wa msimu, Hiddink alijiunga na Chelsea 
 kuchukua nafasi ya Jose Mourinho ambaye alifukuzwa na timu hiyo.
March 3 gazeti la Stadio Corriere dello Sport linaripoti kuwa mmiliki wa 
klabu ya Chelsea Roman Abramovich ameshawajulisha viongozi wote wa
 Chelsea ikiwemo benchi la ufundi kuwa Antonio Conte ndio atajiunga na Chelsea 
 na kuwa kocha mpya wa timu hiyo, kwa mkataba wa miaka 3 wenye thamani 
ya euro milioni 6 kwa mwaka.

No comments:

Post a Comment