Popular Posts

Thursday, March 3, 2016

Fid Q afunguka sababu ya kupenda kufanya kazi na wasanii wasiofahamika.Ipi hio?


fid q
Msanii nguli wa hip hop nchini Fid Q amefunguka na kusema kuwa yeye
 hupenda kufanya kazi na wasanii wengine ambao pengine hawana majina
 kwa wakati huo kwa sababu huamini zaidi kwenye kipaji kuliko jina.
Fid Q ameyafunguka hayo baada ya kuulizwa kwanini kwenye nyimbo zak
e nyingi hafanyi na watu wenye majina makubwa mfano Walk it off  ambayo
 amefanya na producer Taz tokea Zambia ambaye ni mpya masikioni mwa
 watanzania wengimara nyingi mimi hupenda kufanya kazi na watu wasiofahamika
 kwa sababu naamini kwenye talent zaidi kuliko majina,naamini kwenye kutengeneza nyimbo
 nzuri kuliko hit song.” alifunguka Fid Q ambaye alisema hapendi kufuata trend bali hutengeneza
 trend.
Source:Clouds

No comments:

Post a Comment