10.CHRISTOPHER SAMBA(USD 8MIL.)
Anacheza timu ya Dynamo Kiev ya Ukraine na timu ya taifa ya Congo
9.SEYDOU KEITA(USD 10MIL.)
Anacheza timu ya Mali na timu ya Barcelona
8.FREDERIC KANOUTE(USD 12MIL.)
Anacheza timu ya taifa ya Mali na club ya Beijing Guoan ya China
7.JOHN OB MIKEL(USD 15MIL)
Anacheza timu ya taifa ya Nigeria na club ya Chelsea
6.KOLO TOURE(USD 18MIL.)
Anacheza timu ya taifa ya Ivory Coast na club ya Liverpool ya Uingereza
5.MICHAEL ESSIEN(USD 25MIL.)
Anacheza timu ya taifa ya Ghana na club ya AC Milan
4.EMMANUEL ADEBAYOR(USD 27MIL.)
Anacheza timu ya taifa ya Togo na club ya Tottenham
3.YAYA TOURE(USD 65MIL.)
Anacheza timu ya taifa ya Kodivaa na club ya Manchester City
2.DIDIER DROGBA(USD 70MIL.)
Mchezaji wa timu ya taifa ya Kodivaa na club ya Galatasaray
1.SAMUEL ET'O(USD 90MIL.)
Mchezaji wa timu ya Cameroon na club ya Anzhi Makhachkala
Popular Posts
-
Inasemekana ni kijana mrefu kuliko wote Tanzania. Kijana huyu (katikati pichani) ambaye anadhaniwa ni mrefu kuliko vijana wote Tanza...
-
Hii ni dunia ambayo kila siku kuna watu wanafanya utafiti wa vitu duniani… sasa leo March 4 2016 nakuletea matokeo ya utafiti uliofa...
-
Msanii nguli wa hip hop nchini Fid Q amefunguka na kusema kuwa yeye hupenda kufanya kazi na wasanii wengine ambao pengine ha...
-
Usiku wa March 2 kuamkia March 3 jina la mkali kutoka Bongoflevani Belle 9 lilirudi kwenye headlines baada ya kuonekana kwa post katika m...
-
Michezo: Kama uliikosa ya muonekano wa Mbwana Samatta, Lionel Messi na Neymar kwenye Game ya FIFA 16Kwa wapenzi wa michezo ya game hususani game za mchezo wa soka maarufu kama Play Station , huwa ni kawaida kuona wataalam wa game kut...
-
Tazama video mpya kutoka kwa Nay wa Mitego,Shika adabu yako.Wimbo ambao umeleta kashi kashi nyingi kutokana na Nay wa mitego kuwachana wasa...
-
Staa wa muziki wa Hip Hop kutoka Marekani, Tyga ni miongoni ya wasanii wanaofunga mwaka wa 2015 na excluvise interviews na mitandao pam...
-
ERIC "WINKLE" BROWN afariki: Rubani wa Uingereza aliyeendesha aina nyingi za ndege kuliko rubani yeyote duniani Capt. Eric ali...
-
Kwenye game ya bongofleva moja ya stori zilizopita sana juzi kati ni wimbo wa ‘ shika adabu yako ‘ wa Nay wa Mitego kuripotiwa na vyombo v...
-
Man Utd 3 -2 Arsenal 90'+5' Mpira umekwisha. 90'+3' Adnan Januzaj (Manchester United) aoneshwa kadi ya njano 90...
Wednesday, June 1, 2016
Thursday, March 3, 2016
Miji 10 ya Afrika yenye Matajiri wenye utajiri wa zaidi ya BILIONI 60… Afrika Mashariki imetajwa miwili tu !
Hii ni
dunia ambayo kila siku kuna watu wanafanya utafiti wa vitu duniani…
sasa
leo March 4 2016 nakuletea matokeo ya utafiti uliofanywa kwenye
bara la
Afrika na kuonyesha kwamba ifuatayo ndio miji kumi ya nchi za
Afrika
ambako Matajiri wengi wanapatikana.
Kila
tajiri aliejumuishwa kwenye hii list ni yule aliye na utajiri unaozidi
dola
za kimarekani milioni 30 ambazo kwa Tanzania ni zaidi ya BILIONI 65
ambapo moja ya miji hiyo 10 Dar es salaam ipo pia ikiwa nafasi ya sita
ikiwa na matajiri 36 wenye utajiri huo.
List kamili kwenye nafasi ya kumi ni mji wa 10. Kano Nigeria,
9– Marrakesh Morocco 8– Addid Ababa Ethiopia 7– Abuja Nigeria
6– Dar es salaam Tanzania 5– Nairobi Kenya ambako kuna matajiri
wa aina hiyo wapatao 69. Namba 4 ni Capetown South Africa yenye
matajiri 115 wa aina hiyo. 3- Lagos Nigeria yenye 131 2- Cairo Egypt
1. Johannesburg South Africa yenye matajiri wa aina hiyo 238.
Fid Q afunguka sababu ya kupenda kufanya kazi na wasanii wasiofahamika.Ipi hio?
Msanii nguli wa hip hop nchini Fid Q amefunguka na kusema kuwa yeye
hupenda kufanya kazi na wasanii wengine ambao pengine hawana majina
kwa wakati huo kwa sababu huamini zaidi kwenye kipaji kuliko jina.
Fid Q ameyafunguka hayo baada ya kuulizwa kwanini kwenye nyimbo zak
e nyingi hafanyi na watu wenye majina makubwa mfano Walk it off ambayo
amefanya na producer Taz tokea Zambia ambaye ni mpya masikioni mwa
watanzania wengi“mara nyingi mimi hupenda kufanya kazi na watu wasiofahamika
kwa sababu naamini kwenye talent zaidi kuliko majina,naamini kwenye kutengeneza nyimbo
nzuri kuliko hit song.” alifunguka Fid Q ambaye alisema hapendi kufuata trend bali hutengeneza
trend.
Source:Clouds
Entertainment;Tegemea ngoma nyingine ya Roma na Kala,Roma amefunguka
kupitia ukarasa wake facebook msanii wa hip hop,Roma
amepost picha yake na kala wakiwa wamekaa kwenye
gari bovu na kuandika kuwa anatarajia kuachia ngoma
aliyofanya na na msanii huyo.
“Je!!! Mko tayari kwa Ngoma Nyingine???mRoma & Kala
????? Endelea kuDownload #MtotoWaKigogo #MtotoWaKigogo Link hii bofya http://bit.ly/MtotoWaKigogo http://bit.ly/MtotoWaKigogo” alipost Roma.
amepost picha yake na kala wakiwa wamekaa kwenye
gari bovu na kuandika kuwa anatarajia kuachia ngoma
aliyofanya na na msanii huyo.
“Je!!! Mko tayari kwa Ngoma Nyingine???mRoma & Kala
????? Endelea kuDownload #MtotoWaKigogo #MtotoWaKigogo Link hii bofya http://bit.ly/MtotoWaKigogo http://bit.ly/MtotoWaKigogo” alipost Roma.
Bei mpya za mafuta ya petroli, dizeli na mafuta ya taa imetangazwa
nishati na maji nchini (EWURA) ilitangaza bei
mpya ya bidhaa za mafuta ya Petrol, Diesel na
ya mafuta ya taa katika masoko yote ya jumla na
rejareja ambapo bei hizo zitaanza kutumika kuanzia
tarehe 2 march 2016.
Akiongea na waandishi wa habari Dar es salaam,
Mkurugenzi wa huduma za nishati na maji (EWURA),
Felix Ngamlagosi amesema ‘kuanzia tarehe 2 March
bei za mafuta zimebadilika ikilinganishwa na toleo
lililopita la February 2016, kwa March 2016 bei ya
rejareja za petroli imepungua Tsh 31 kwa lita sawa
na 1.70%, Diesel imepungua Tsh 114 kwa lita sawa na
7.10% na mafuta ya taa yamepungua kwa Tsh 234 kwa
lita sawa na 13.75%’
‘kwa kiasi kikubwa , kupungua huku kwa bei za mafuta
kwenye soko la ndani kumetokana na kuendelea kushuka
kwa bei za mafuta katika soko la dunia‘
Michezo: Kama uliikosa ya muonekano wa Mbwana Samatta, Lionel Messi na Neymar kwenye Game ya FIFA 16
Kwa wapenzi wa michezo ya game hususani game za mchezo wa
soka maarufu kama Play Station, huwa ni kawaida kuona wataalam
wa game kutengeneza game za timu zinazopendwa na muonekano wa
wachezaji wa timu husika lengo likiwa kujenga taswira halisi kwa mchezaji wa game.
Huu ndio muonekano wa Lionel Messi katika Game ya FIFA 16
Huu ndio muonekano wa Mbwana Samatta ambapo kwa taarifa zisizo
rasmi anatajwa kuwa huenda akawa mtanzania wa kwanza kuwemo katika
Game ya FIFA 16
Muonekano wa wachezaji wa FC Barcelona akiwemo Neymar wa kwanza
kulia katika Game ya FIFA 16
Msanii aliyejitokeza na kusema ‘shika adabu yako wa Nay wa mitego ni wimbo mzuri’
Kwenye game ya bongofleva moja ya stori zilizopita sana juzi kati ni wimbo wa ‘shika adabu yako‘ wa Nay wa Mitego kuripotiwa
na vyombo vya habari kwamba umepigwa marufuku kuchezwa kwenye Media
kufungiwa na baraza la sanaa Tanzania (BASATA) ambapo taarifa hizo
zimemfikia na msanii wa bongofleva Mzungu Kichaa.
Mzungu Kichaa ametoa maoni yake kwa kusema ‘sikutegemea kwamba wimbo wa Nay wa Mitego ungefungiwa, ameongea vitu vya maana… anaongea kuhusu msumeno usiong’ata, pale anawalenga BASATA moja kwa moja lakini ni kitu ambacho inabidi BASATA wawe tayari kukichukua, wasione ni kitu kibaya… hiyo iwe mwanzo wa mazungumzo kujadili kitu, wasifungie tu wimbo‘
‘Napinga kuleta Upolisi kwenye sanaa kama hivi…. mi nimeupenda sana wimbo wa ‘shika adabu yako’ na nilikwenda kusoma mashairi kwanza kabla hata ya kuusikiliza wimbo, sio kwamba nakubali kila alichoandika pale ila ni vizuri kuwa na msimamo na kuongea kitu kinachotokea kwenye jamii ili tukijadili hata kama amesema kitu kibaya’ – Mzungu Kichaa
Mzungu Kichaa ametoa maoni yake kwa kusema ‘sikutegemea kwamba wimbo wa Nay wa Mitego ungefungiwa, ameongea vitu vya maana… anaongea kuhusu msumeno usiong’ata, pale anawalenga BASATA moja kwa moja lakini ni kitu ambacho inabidi BASATA wawe tayari kukichukua, wasione ni kitu kibaya… hiyo iwe mwanzo wa mazungumzo kujadili kitu, wasifungie tu wimbo‘
‘Napinga kuleta Upolisi kwenye sanaa kama hivi…. mi nimeupenda sana wimbo wa ‘shika adabu yako’ na nilikwenda kusoma mashairi kwanza kabla hata ya kuusikiliza wimbo, sio kwamba nakubali kila alichoandika pale ila ni vizuri kuwa na msimamo na kuongea kitu kinachotokea kwenye jamii ili tukijadili hata kama amesema kitu kibaya’ – Mzungu Kichaa
Subscribe to:
Posts (Atom)